iqna

IQNA

saudi arabia
Umoja wa Waislamu
IQNA - Jumuiya ya Waislamu Duniani (WML) imeandaa mkutano unaolenga kukuza maelewano kati ya madhehebu za Kiislamu.
Habari ID: 3478533    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

Hija 1445
IQNA - Usajili umefunguliwa kwa raia wa Saudi au wakaazi nchini walio tayari kushiriki katika ibada ya Hija ya mwaka 1445 Hijria/ 2024.
Habari ID: 3478344    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13

Teknolojia
IQNA - Kongamano la teknolojia ya Qur'ani Tukufu limepangwa kufunguliwa katika mji mkuu wa Saudia wa Riyadh wikendi hii. Itahudhuriwa na kundi la wataalam, wasomi na weledi wa teknolojia.
Habari ID: 3478316    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/07

Hija 1445
IQNA - Saudi Arabia imeanza kupokea maombi kutoka kwa mahujaji wa kigeni wanaotaka kuhiji 2024, hija ya kila mwaka ya Kiislamu kwenda Mecca.
Habari ID: 3478096    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/26

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA - Balozi wa Iran mjini Riyadh alikutana na Waziri wa Masuala ya Kiislamu wa Saudia Jumatatu na kujadili uhusiano kati ya nchi hizo mbili na changamoto zinazoukabili ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478060    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/19

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
MAKKA (IQNA)- Toleo la 43 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Saudi Arabia litaanza leo katika mji mtakatifu wa Makka huku wawakilishi kutoka nchi 117 wakishiriki.
Habari ID: 3477495    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/25

Umra 1445
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wanaokwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Umra au Hija ndogo wameonywa dhidi ya kutumia mawakala wasio na leseni.
Habari ID: 3477457    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/18

Hija mwaka 1444
Maeneo matakatifu nchini Saudi Arabia yanatayarishwa kupokea Waislamu wanaotekeleza ibada ya Hija kutoka kila kona ya dunia.
Habari ID: 3477125    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/09

Hija 1444 H
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetoa taarifa ya miongozo jumla kwa Mahujaji wa mwaka huu wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kwa lengo la kurahisisha ibada hiyo.
Habari ID: 3477054    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/27

Hija
TEHRAN (IQNA) – Kikao kimefanyika katika mji mtakatifu wa Madina nchini Saudi Arabia ambapo maafisa wametathmini maandalizi ya msimu ujao wa Hija.
Habari ID: 3476988    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/11

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) –Mashindano ya 43 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudi Arabia yatafanyika katika mji mtakatifu wa Makka msimu huu wa joto.
Habari ID: 3476955    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/04

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Iran ameashiria kukasirishwa utawala wa Kizayuni kufuatia kuhuishwa uhusiano kati ya Iran na Saudia na akasema: Maadui khususan utawala wa Israel wamekasirishwa na hatua hii na sababu yake ni njama wanazofanya za kueneza migawanyiko.
Habari ID: 3476951    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/03

Njama za Mabeberu
TEHRAN (IQNA)- Katika hali ambayo, Saudi Arabia na Yemen zimepiga hatua muhimu kwa ajili ya kuhitimisha vita vya Yemen, mashinikizo ya serikali ya Marekani kwa utawala wa Riyadh yamekuwa kikwazo na kizingiti kikuu cha kuhitimishwa vita hivyo.
Habari ID: 3476947    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/02

Tangazo la Hija la Saudi Arabia
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hijja na Umra Saudi Arabia imesema kuwa tarehe ya mwisho ya Mahujaji kupata chanjo ni siku 10 kabla ya msimu wa Hija.
Habari ID: 3476922    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/27

Maafa
TEHRAN (IQNA)- Makumi ya watu wamepoteza maisha na mamia kujeruhiwa huko Yemen katika mkanyagano uliotokea leo katika zoezi la ugavi wa msaada wa hisani.
Habari ID: 3476895    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20

Amani
TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Ansarullah ya Yemen na Baraza la la Urais linaloungwa mkono na Saudi Arabia (PLC) wamewaachilia huru wafungwa wengi katika mabadilishano ya mwisho ya wafungwa 900 na hivyo kuongeza matarajio ya amani ya nchi nzima katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita vikali vinavyoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3476883    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/17

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya waumini milioni 22 walitembelea eneo takatifu zaidi katika Uislamu, Msikiti Mkuu Makka (Masjid al-Haram) katika siku 20 za kwanza za Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3476866    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/14

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran aliyeshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 2 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia amesema shindano hilo lilikuwa la kiwango cha juu.
Habari ID: 3476843    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10

Mashidano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ifuatayo ni qiraa ya Qari Yunes Shahmoradi kutoka Iran ambaye aliibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476838    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09

Vita vya Yemen
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia imeripotiwa kulijulisha linalojiita baraza la uongozi wa rais wa Yemen juu ya uamuzi wa kusitisha vita haribifu nchini Yemen baada ya miaka minane ya uchokozi.
Habari ID: 3476834    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08